Wednesday, July 8, 2009

JOE MAKIN A.K.A MWAMBA WAKASKAZINI AKIWA NYUMBANI KABLA HAJAANZA HIP HOP

Hanayesadikika kutishia amani ya hiphop nchini Tanzania joe makini hapa hakiwa nyumbani kwao alikozaliwa kabla ya kuanza fani ya music.
Joe makini amekuwa ni tishio sana hapa nchini Tanzania si kwa beats tu anazopita anapofanya nyimbo bali pia na mashahili yake yameonyesha kuwavutia watu wengi hasa wapenzi wa hip hop Tanzania.

No comments:

Post a Comment